-
Kumbukumbu la Torati 18:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 “Makuhani Walawi, na kwa kweli kabila lote la Lawi, hawatapewa fungu wala uriti pamoja na Israeli. Watakula matoleo yenye yanatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, yenye ni uriti wake.+
-