Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Hasira yao ilaaniwe, kwa sababu haina huruma, na kasirani yao kali, kwa sababu ni kali sana.+ Niwatawanye katika Yakobo, na niwasambaze katika Israeli.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 “Makuhani Walawi, na kwa kweli kabila lote la Lawi, hawatapewa fungu wala uriti pamoja na Israeli. Watakula matoleo yenye yanatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, yenye ni uriti wake.+

  • Yoshua 14:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Wazao wa Yosefu walihesabiwa kuwa makabila mbili,+ Manase na Efraimu;+ na hawakupatia Walawi fungu katika inchi, isipokuwa miji+ ya kuishi ndani na malisho yake kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine