Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:32-34
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 “‘Kuhusu nyumba za Walawi zenye ziko katika miji yao,+ Walawi watakuwa na haki ya kudumu ya kuzikomboa. 33 Wakati mali ya Walawi hainunuliwe tena, nyumba yenye iliuzishwa katika muji wa Walawi itarudishwa pia katika Yubile,+ kwa sababu nyumba zenye ziko katika miji ya Walawi ni uriti wao kati ya Waisraeli.+ 34 Tena, shamba la eneo la malisho+ lenye kuzunguka miji yao halipaswe kuuzishwa, kwa sababu ni uriti wao wa kudumu.

  • Yoshua 21:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Basi kwa agizo la Yehova, Waisraeli wakapatia Walawi miji hiyo+ na malisho katika uriti wao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 11:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Walawi waliacha malisho yao na eneo lao+ na wakakuja Yuda na Yerusalemu, kwa sababu Yeroboamu na wana wake walikuwa wamewaondoa ili wasitumike tena wakiwa makuhani kwa ajili ya Yehova.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine