-
Mambo ya Walawi 25:32-34Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 “‘Kuhusu nyumba za Walawi zenye ziko katika miji yao,+ Walawi watakuwa na haki ya kudumu ya kuzikomboa. 33 Wakati mali ya Walawi hainunuliwe tena, nyumba yenye iliuzishwa katika muji wa Walawi itarudishwa pia katika Yubile,+ kwa sababu nyumba zenye ziko katika miji ya Walawi ni uriti wao kati ya Waisraeli.+ 34 Tena, shamba la eneo la malisho+ lenye kuzunguka miji yao halipaswe kuuzishwa, kwa sababu ni uriti wao wa kudumu.
-