Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 20:2, 3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Ambia Waisraeli, ‘Mujichagulie miji ya makimbilio+ kama vile niliwaambia kupitia Musa, 3 ili muuaji mwenye ataua mutu* bila kukusudia ao bila kutazamia* akimbilie kule. Itakuwa makimbilio yenu ili kumuepuka mulipiza-kisasi cha damu.+

  • Yoshua 20:7, 8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Basi wakafanya miji hii kuwa mitakatifu:* Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo la milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo la milima la Efraimu, na Kiriat-arba,+ ni kusema, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda. 8 Na katika eneo la Yordani, upande wa mashariki wa Yeriko, wakachagua muji wa Beseri+ katika jangwa kwenye eneo tambarare la juu katika eneo la kabila la Rubeni, Ramoti+ kule Gileadi katika eneo la kabila la Gadi, na Golani+ kule Bashani katika eneo la kabila la Manase.+

  • Yoshua 21:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Na wakapatia wana wa Haruni kuhani muji wa makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ ni kusema, Hebroni+ na malisho yake, pia Libna+ na malisho yake,

  • Yoshua 21:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Waliwapatia muji wa makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ ni kusema, Shekemu+ na malisho yake katika eneo lenye milima la Efraimu, Gezeri+ na malisho yake,

  • Yoshua 21:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Na Wagershoni+ wa familia za Walawi walipewa muji wa makimbilio kwa ajili ya muuaji katika eneo la nusu ya kabila la Manase, ni kusema, Golani,+ katika Bashani, na malisho yake, na Beeshtera na malisho yake⁠—​miji mbili.

  • Yoshua 21:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Na katika kabila la Naftali: muji wa makimbilio+ kwa ajili ya muuaji, ni kusema, Kedeshi+ kule Galilaya na malisho yake, Hamot-dori na malisho yake, na Kartani na malisho yake⁠—​miji tatu (3).

  • Yoshua 21:36
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 36 Na katika kabila la Rubeni: Beseri+ na malisho yake, Yahazi na malisho yake,+

  • Yoshua 21:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Na katika kabila la Gadi:+ muji wa makimbilio kwa ajili ya muuaji, ni kusema, Ramoti kule Gileadi+ na malisho yake, Mahanaimu+ na malisho yake,

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine