-
Yoshua 20:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Basi wakafanya miji hii kuwa mitakatifu:* Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo la milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo la milima la Efraimu, na Kiriat-arba,+ ni kusema, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda. 8 Na katika eneo la Yordani, upande wa mashariki wa Yeriko, wakachagua muji wa Beseri+ katika jangwa kwenye eneo tambarare la juu katika eneo la kabila la Rubeni, Ramoti+ kule Gileadi katika eneo la kabila la Gadi, na Golani+ kule Bashani katika eneo la kabila la Manase.+
-