-
Kumbukumbu la Torati 4:41-43Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
41 Wakati huo Musa alitia pembeni miji tatu (3) upande wa mashariki wa Yordani.+ 42 Kama muuaji yeyote anaua mwanadamu mwenzake bila kukusudia na hakumuchukia zamani,+ anapaswa kukimbilia katika muji mumoja kati ya miji hiyo na kuishi.+ 43 Miji hiyo ni Beseri+ katika jangwa kwenye eneo tambarare la juu kwa ajili ya Warubeni, Ramoti+ katika Gileadi kwa ajili ya Wagadi, na Golani+ katika Bashani kwa ajili ya Wamanase.+
-