Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:41-43
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 41 Wakati huo Musa alitia pembeni miji tatu (3) upande wa mashariki wa Yordani.+ 42 Kama muuaji yeyote anaua mwanadamu mwenzake bila kukusudia na hakumuchukia zamani,+ anapaswa kukimbilia katika muji mumoja kati ya miji hiyo na kuishi.+ 43 Miji hiyo ni Beseri+ katika jangwa kwenye eneo tambarare la juu kwa ajili ya Warubeni, Ramoti+ katika Gileadi kwa ajili ya Wagadi, na Golani+ katika Bashani kwa ajili ya Wamanase.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine