Yoshua 20:2, 3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Ambia Waisraeli, ‘Mujichagulie miji ya makimbilio+ kama vile niliwaambia kupitia Musa, 3 ili muuaji mwenye ataua mutu* bila kukusudia ao bila kutazamia* akimbilie kule. Itakuwa makimbilio yenu ili kumuepuka mulipiza-kisasi cha damu.+
2 “Ambia Waisraeli, ‘Mujichagulie miji ya makimbilio+ kama vile niliwaambia kupitia Musa, 3 ili muuaji mwenye ataua mutu* bila kukusudia ao bila kutazamia* akimbilie kule. Itakuwa makimbilio yenu ili kumuepuka mulipiza-kisasi cha damu.+