-
Kutoka 21:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 “Mutu yeyote mwenye anamupiga mutu na kumuua anapaswa kuuawa.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 19:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 “Lakini kama mutu alikuwa anamuchukia mwenzake+ na alikuwa anangojea kumushambulia na akamuumiza* mupaka kufa na akakufa, na mutu huyo amekimbilia katika muji mumoja kati ya miji hiyo, 12 basi wazee wa muji wake watamuita kutoka kule na kumutia katika mukono wa mulipiza-kisasi cha damu, na mutu huyo anapaswa kufa.+
-