Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Miji hiyo itakuwa makimbilio yenu ili kumuepuka mulipiza-kisasi cha damu,+ ili muuaji asiuawe kabla ya kuhukumiwa mbele ya mukusanyiko.+

  • Yoshua 20:4, 5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Anapaswa kukimbilia kwenye muji mumoja kati ya miji hiyo+ na kusimama kwenye muingilio wa mulango mukubwa wa muji+ na kueleza kesi yake katika masikio ya wazee wa muji huo. Kisha wanapaswa kumupokea katika muji huo na kumupatia mahali pa kuishi na ataishi pamoja nao. 5 Kama mulipiza-kisasi cha damu anamufuatilia, wazee hawapaswe kutia muuaji huyo katika mikono yake, kwa maana alimuua mwenzake bila kutazamia* na hakukuwa anamuchukia.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine