-
Yoshua 20:4, 5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Anapaswa kukimbilia kwenye muji mumoja kati ya miji hiyo+ na kusimama kwenye muingilio wa mulango mukubwa wa muji+ na kueleza kesi yake katika masikio ya wazee wa muji huo. Kisha wanapaswa kumupokea katika muji huo na kumupatia mahali pa kuishi na ataishi pamoja nao. 5 Kama mulipiza-kisasi cha damu anamufuatilia, wazee hawapaswe kutia muuaji huyo katika mikono yake, kwa maana alimuua mwenzake bila kutazamia* na hakukuwa anamuchukia.+
-