-
Yoshua 20:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Anapaswa kukaa ndani ya muji huo mupaka jambo lenye alifanya lisikilizwe mbele ya mukusanyiko,+ na atabakia kule mupaka wakati kuhani mukubwa+ mwenye kuwa katika madaraka wakati huo atakufa. Kisha muuaji huyo anaweza kurudia katika muji kwenye alitoka, na anaweza kuingia katika muji wake na nyumba yake.’”+
-