-
Hesabu 27:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Kisha mabinti wa Selofehadi,+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, wa familia za Manase mwana wa Yosefu, wakakaribia. Majina ya mabinti hao yalikuwa Mala, Noa, Hogla, Milka, na Tirsa.
-