Kutoka 13:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Nitakasie* kila muzaliwa wa kwanza mwanaume* kati ya Waisraeli. Muzaliwa wa kwanza mwanaume, wa mwanadamu na wa munyama ni wangu.”+ Hesabu 18:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 “Kila muzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote vyenye uzima,*+ mwenye watamutolea Yehova, ikuwe mwanadamu ao munyama, atakuwa wako. Lakini, unapaswa kabisa kumukomboa muzaliwa wa kwanza wa wanadamu,+ na muzaliwa wa kwanza wa wanyama wenye hawako safi.+
2 “Nitakasie* kila muzaliwa wa kwanza mwanaume* kati ya Waisraeli. Muzaliwa wa kwanza mwanaume, wa mwanadamu na wa munyama ni wangu.”+
15 “Kila muzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote vyenye uzima,*+ mwenye watamutolea Yehova, ikuwe mwanadamu ao munyama, atakuwa wako. Lakini, unapaswa kabisa kumukomboa muzaliwa wa kwanza wa wanadamu,+ na muzaliwa wa kwanza wa wanyama wenye hawako safi.+