-
Hesabu 2:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Kisha ni kabila la Gadi; mukubwa wa wana wa Gadi ni Eliasafu+ mwana wa Reueli.
-
-
Hesabu 7:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Yehova akamuambia Musa: “Kila siku, mukubwa mumoja atatoa toleo lake kwa ajili ya kuzinduliwa kwa mazabahu.”*
-
-
Hesabu 7:42Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
42 Siku ya sita (6), mukubwa wa wana wa Gadi, Eliasafu+ mwana wa Deueli,
-
-
Hesabu 10:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Kiongozi wa kikundi cha maaskari cha kabila la wana wa Gadi alikuwa Eliasafu+ mwana wa Deueli.
-