-
2 Samweli 6:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Lakini wakati walifika kwenye kiwanja cha kupigia-pigia nafaka cha Nakoni, Uza akanyoosha mukono wake kwenye lile Sanduku la Mungu wa kweli na kulishika,+ kwa sababu wale ngombe walikuwa karibu kuliangusha. 7 Halafu kasirani ya Yehova ikawaka juu ya Uza, na Mungu wa kweli akamupiga na kumuua+ pale kwa sababu ya tendo lake la kukosa heshima,+ na akakufia pale karibu na Sanduku la Mungu wa kweli.
-