Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Kwa hiyo Lea akakuwa na mimba na akamuzaa mwana na kumupatia jina Rubeni,*+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ameona mateso yangu,+ kwa kuwa sasa bwana yangu ataanza kunipenda.”

  • Hesabu 2:10, 11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 “Mugawanyo wa makabila tatu (3) wa kambi ya Rubeni+ kulingana na vikundi vyao vya maaskari* utakuwa kuelekea upande wa kusini; mukubwa wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri. 11 Wale wenye waliandikishwa katika jeshi lake ni watu elfu makumi ine na sita na mia tano (46 500).+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine