32 Kwa hiyo Lea akakuwa na mimba na akamuzaa mwana na kumupatia jina Rubeni,*+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ameona mateso yangu,+ kwa kuwa sasa bwana yangu ataanza kunipenda.”
10 “Mugawanyo wa makabila tatu (3) wa kambi ya Rubeni+ kulingana na vikundi vyao vya maaskari* utakuwa kuelekea upande wa kusini; mukubwa wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri. 11 Wale wenye waliandikishwa katika jeshi lake ni watu elfu makumi ine na sita na mia tano (46 500).+