Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:33
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 33 Na akakuwa tena na mimba na akamuzaa mwana na kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza, kwamba sikukuwa ninapendwa, kwa hiyo amenipatia huyu pia.” Kisha akamupatia jina Simeoni.*+

  • Mwanzo 46:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli+ mwana wa mwanamuke Mukanaani.

  • Hesabu 2:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Wale wenye watapiga kambi karibu naye ni kabila la Simeoni; mukubwa wa wana wa Simeoni ni Shelumieli+ mwana wa Zurishadai. 13 Wale wenye waliandikishwa katika jeshi lake ni watu elfu makumi tano na kenda na mia tatu (59 300).+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine