33 Na akakuwa tena na mimba na akamuzaa mwana na kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza, kwamba sikukuwa ninapendwa, kwa hiyo amenipatia huyu pia.” Kisha akamupatia jina Simeoni.*+
12 Wale wenye watapiga kambi karibu naye ni kabila la Simeoni; mukubwa wa wana wa Simeoni ni Shelumieli+ mwana wa Zurishadai. 13 Wale wenye waliandikishwa katika jeshi lake ni watu elfu makumi tano na kenda na mia tatu (59 300).+