-
Mambo ya Walawi 6:4, 5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Kama ametenda zambi na iko* na hatia, anapaswa kurudisha kitu chenye aliiba, kitu chenye alinyanganya, kitu chenye alikamata kwa kupunja, kitu chenye alipewa ili akichunge, ao kitu chenye kilipotea chenye alipata, 5 ao kitu chochote chenye aliapia kwa uongo, na anapaswa kutoa malipo kamili kwa ajili ya kitu hicho,+ na kuongeza juu yake sehemu moja ya tano ya samani ya kitu hicho. Atapatia mwenye kitu hicho ile sehemu moja ya tano (1/5) siku yenye hatia yake itahakikishwa.
-