-
Mambo ya Walawi 7:34Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
34 Kwa maana ninakamata kifua cha toleo la kutikiswa na muguu wa lile fungu takatifu kutoka katikati ya zabihu za ushirika za Waisraeli, na ninapatia vitu hivyo Haruni kuhani na wana wake. Ni sharti la kudumu kwa Waisraeli.+
-