Kutoka 6:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Sasa Haruni akamuchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ akuwe bibi yake. Akamuzalia Nadabu, Abihu, Eleazari, na Itamari.+ Luka 3:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Wakati Yesu+ alianza kazi yake, alikuwa na miaka karibu makumi tatu (30).+ Na watu walimuona kuwa mwana,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 mwana wa Aminadabu,mwana wa Arni,mwana wa Hezroni,mwana wa Perezi,+mwana wa Yuda,+ Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025) Toka Ingia Kiswahili (Congo) Tumia Wengine Préférences Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Kanuni za Matumizi Kanuni za Kutunza Siri Paramètres Kuhusu Kutunza Siri JW.ORG Ingia Tumia Wengine Tumia Wengine Kupitia Email
23 Sasa Haruni akamuchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ akuwe bibi yake. Akamuzalia Nadabu, Abihu, Eleazari, na Itamari.+
23 Wakati Yesu+ alianza kazi yake, alikuwa na miaka karibu makumi tatu (30).+ Na watu walimuona kuwa mwana,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 mwana wa Aminadabu,mwana wa Arni,mwana wa Hezroni,mwana wa Perezi,+mwana wa Yuda,+