Kutoka 30:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 “Kila mara wakati unaandikisha na kuhesabia wana wa Israeli,+ kila mumoja wao anapaswa kumupatia Yehova bei ya ukombozi kwa ajili ya uzima wake* wakati anaandikishwa. Watafanya vile ili wasipatwe na pigo lolote wakati wanaandikishwa.
12 “Kila mara wakati unaandikisha na kuhesabia wana wa Israeli,+ kila mumoja wao anapaswa kumupatia Yehova bei ya ukombozi kwa ajili ya uzima wake* wakati anaandikishwa. Watafanya vile ili wasipatwe na pigo lolote wakati wanaandikishwa.