25 “Mugawanyo wa makabila tatu (3) wa kambi ya Dani kulingana na vikundi vyao vya maaskari* utakuwa kuelekea upande wa kaskazini; mukubwa wa wana wa Dani ni Ahiezeri+ mwana wa Amishadai.
25 Kisha mugawanyo wa makabila tatu (3) wa kambi ya wana wa Dani uliondoka kulingana na vikundi vyao vya maaskari,* walikuwa kikundi cha nyuma cha kulinda kambi zote, na Ahiezeri+ mwana wa Amishadai alikuwa kiongozi wa kikundi chao cha maaskari.