10 Sasa wakubwa hao wakaleta toleo lao wakati wa kuzinduliwa+ kwa mazabahu* katika siku yenye ilitiwa mafuta. Wakati wakubwa walileta toleo lao mbele ya mazabahu,
68 Wakati walifika kwenye nyumba ya Yehova katika Yerusalemu, wamoja kati ya vichwa vya jamaa za upande wa baba walitoa matoleo ya kujipendea+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli, ili kuijenga upya* mahali pake.+