2 “Chukua Haruni na wana wake,+ zile nguo,+ yale mafuta ya kutia mafuta,+ ule ngombe-dume wa toleo la zambi, wale kondoo-dume wawili, na kile kitunga cha mikate yenye haina chachu,+ 3 na ukusanye mukusanyiko wote pamoja kwenye muingilio wa hema ya mukutano.”