30 Ataleta katika mikono yake mwenyewe mafuta+ pamoja na kifua kuwa toleo lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, na atatikisa toleo hilo mbele na nyuma likiwa toleo la kutikiswa+ mbele ya Yehova.
21 Kwa hiyo Walawi wakajitakasa na kufua nguo zao,+ kisha Haruni akawatoa* kuwa toleo la kutikiswa mbele ya Yehova.+ Halafu Haruni akafunika zambi kwa ajili yao ili kuwatakasa.+