-
Hesabu 3:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Familia za Wagershoni zilipiga kambi nyuma ya tabenakulo+ kuelekea upande wa mangaribi.
-
-
Hesabu 3:29Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
29 Familia za wana wa Kohati zilipiga kambi upande wa kusini wa tabenakulo.+
-
-
Hesabu 3:35Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
35 Mukubwa wa jamaa ya upande wa baba ya familia za Merari alikuwa Zurieli mwana wa Abihaili. Walipiga kambi upande wa kaskazini wa tabenakulo.+
-
-
Hesabu 3:38Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
38 Wale wenye walipiga kambi mbele ya tabenakulo kuelekea upande wa mashariki, mbele ya hema ya mukutano kuelekea mahali jua linatokea, walikuwa Musa na Haruni na wana wake. Walikuwa na daraka la kutunza patakatifu, hilo lilikuwa jambo lenye waliombwa kufanya kwa ajili ya Waisraeli. Mutu yeyote mwenye haruhusiwe* mwenye angekaribia alipaswa kuuawa.+
-