3 Waisraeli waliendelea kuwaambia: “Ingekuwa muzuri kama tungekufa katika mukono wa Yehova katika inchi ya Misri wakati tulikuwa tunakaa pembeni ya vyungu vya nyama,+ wakati tulikuwa tunakula na kushiba mikate. Sasa mumetuleta katika jangwa hili ili kuua kutaniko hili lote kwa njaa.”+