Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Musa akachagua wanaume wenye uwezo katikati ya Israeli wote na akawaweka wakuwe vichwa juu ya watu, wakubwa wa maelfu, wakubwa wa mamia, wakubwa wa makumi tano, na wakubwa wa makumi.

  • Hesabu 1:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Ni hawa walichaguliwa kati ya mukusanyiko. Hao ndio wakubwa+ wa makabila ya baba zao, vichwa vya maelfu ya Israeli.”+

  • Yoshua 22:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kisha Waisraeli wakatuma Finehasi+ mwana wa Eleazari kuhani kwa Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase katika inchi ya Gileadi, 14 na wakubwa kumi (10) walikuwa pamoja naye, mukubwa mumoja wa kila jamaa ya upande wa baba katika makabila yote ya Israeli, kila mumoja alikuwa kichwa cha jamaa yake ya upande wa baba kati ya maelfu ya* Israeli.+

  • Yoshua 23:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Yoshua akaita Israeli wote,+ wazee wao, vichwa vyao, waamuzi wao, na maofisa wao,+ akawaambia: “Nimezeeka; nimeishi miaka mingi.

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Hii ndiyo hesabu ya Waisraeli, vichwa vya jamaa za upande wa baba, wakubwa wa maelfu na wa mamia,+ na maofisa wao wenye walifanya utumishi kwa ajili ya mufalme+ katika kila jambo la vikundi vyenye vilikuwa vinaingia ndani na kutoka inje mwezi kisha mwezi katika miezi yote ya mwaka; kulikuwa watu elfu makumi mbili na ine (24 000) katika kila kikundi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine