-
Mwanzo 46:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Kisha Mungu akazungumuza na Israeli usiku katika maono na kusema: “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu: “Mimi huyu!”
-
-
Kutoka 24:9-11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Musa na Haruni, Nadabu na Abihu, na wazee makumi saba (70) wa Israeli wakapanda kwenye mulima, 10 na wakamuona Mungu wa Israeli.+ Chini ya miguu yake kulikuwa kitu chenye kufanana sakafu* ya yakuti, na ilikuwa safi kama mbingu zenyewe.+ 11 Naye hakuumiza wanaume hao wenye kuheshimiwa sana wa Israeli,+ na walipata maono ya Mungu wa kweli na walikula na kunywa.
-