Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kisha mambo hayo neno la Yehova likakuja kwa Abramu katika maono, na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Zawabu yako itakuwa kubwa sana.”+

  • Mwanzo 46:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Kisha Mungu akazungumuza na Israeli usiku katika maono na kusema: “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu: “Mimi huyu!”

  • Kutoka 24:9-11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Musa na Haruni, Nadabu na Abihu, na wazee makumi saba (70) wa Israeli wakapanda kwenye mulima, 10 na wakamuona Mungu wa Israeli.+ Chini ya miguu yake kulikuwa kitu chenye kufanana sakafu* ya yakuti, na ilikuwa safi kama mbingu zenyewe.+ 11 Naye hakuumiza wanaume hao wenye kuheshimiwa sana wa Israeli,+ na walipata maono ya Mungu wa kweli na walikula na kunywa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine