-
2 Samweli 10:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Kisha wakati fulani Waamoni wakaona kwamba wamenuka mubaya mbele ya Daudi, basi Waamoni wakatuma wajumbe na kukodi Wasiria wa Bet-rehobu+ na Wasiria wa Soba,+ maaskari elfu makumi mbili (20 000) wenye kutembea kwa miguu; na mufalme wa Maaka,+ pamoja na watu elfu moja (1 000); na kutoka Ishtobu,* watu elfu kumi na mbili (12 000).+
-
-
2 Samweli 10:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Na Waamoni wakatoka na kujipanga kwa ajili ya vita kwenye muingilio wa mulango mukubwa wa muji, wakati huo Wasiria wa Soba na wa Rehobu, pamoja na Ishtobu* na Maaka, walikuwa peke yao katika eneo lenye kuwa wazi la mashamba.
-