8 Nitashuka ili kuwakomboa katika mukono wa Wamisri+ na kuwatosha katika inchi hiyo na kuwaleta kwenye inchi ya muzuri na kubwa, inchi yenye kutiririka maziwa na asali,+ eneo la Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.+
24 Ndiyo sababu niliwaambia: “Mutariti inchi yao, na nitawapatia inchi hiyo ikuwe mali yenu, inchi yenye kutiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, mwenye amewatenga na vikundi vingine vya watu.”+