Mwanzo 36:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Timna akakuwa suria* wa Elifazi, mwana wa Esau. Kisha wakati fulani akamuzalia Elifazi, Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, bibi ya Esau. Kutoka 17:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Kisha Waamaleki+ wakakuja na kupigana na Israeli kule Refidimu.+ 1 Samweli 15:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Sasa uende, na upige na kuua Waamaleki+ na kuwaharibu+ wao pamoja na vitu vyote vyenye wako navyo. Usikose kuwaharibu;* unapaswa kuwaua wote,+ wanaume na wanamuke, mutoto na mutoto mwenye kunyonya, ngombe-dume na kondoo, ngamia na punda.’”+
12 Timna akakuwa suria* wa Elifazi, mwana wa Esau. Kisha wakati fulani akamuzalia Elifazi, Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, bibi ya Esau.
3 Sasa uende, na upige na kuua Waamaleki+ na kuwaharibu+ wao pamoja na vitu vyote vyenye wako navyo. Usikose kuwaharibu;* unapaswa kuwaua wote,+ wanaume na wanamuke, mutoto na mutoto mwenye kunyonya, ngombe-dume na kondoo, ngamia na punda.’”+