Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Lakini Wabenyamini hawakufukuza Wayebusi wenye walikuwa wanakaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanaendelea kukaa Yerusalemu pamoja na Wabenyamini mupaka leo.+

  • 2 Samweli 5:6, 7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Na mufalme na watu wake wakaondoka na kuenda Yerusalemu ili kupigana na Wayebusi+ wenye walikuwa wanaishi katika inchi hiyo. Walimuchokoza Daudi: “Hautaingia humu hata kidogo! Hata vipofu na vilema wa miguu watakufukuza.” Waliwaza, ‘Daudi hataingia humu hata kidogo.’+ 7 Lakini, Daudi akakamata ngome ya Sayuni, yenye sasa ni Muji wa Daudi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine