-
Waamuzi 1:21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Lakini Wabenyamini hawakufukuza Wayebusi wenye walikuwa wanakaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanaendelea kukaa Yerusalemu pamoja na Wabenyamini mupaka leo.+
-
-
2 Samweli 5:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Na mufalme na watu wake wakaondoka na kuenda Yerusalemu ili kupigana na Wayebusi+ wenye walikuwa wanaishi katika inchi hiyo. Walimuchokoza Daudi: “Hautaingia humu hata kidogo! Hata vipofu na vilema wa miguu watakufukuza.” Waliwaza, ‘Daudi hataingia humu hata kidogo.’+ 7 Lakini, Daudi akakamata ngome ya Sayuni, yenye sasa ni Muji wa Daudi.+
-