Hesabu 2:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 “Mugawanyo wa makabila tatu (3) wa kambi ya Rubeni+ kulingana na vikundi vyao vya maaskari* utakuwa kuelekea upande wa kusini; mukubwa wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri.
10 “Mugawanyo wa makabila tatu (3) wa kambi ya Rubeni+ kulingana na vikundi vyao vya maaskari* utakuwa kuelekea upande wa kusini; mukubwa wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri.