51 Kila wakati tabenakulo inahamishwa, Walawi ndio wanapaswa kuibomoa;+ na wakati inasimamishwa, Walawi ndio wanapaswa kuisimamisha; na kama mutu yeyote mwenye haruhusiwe* anakaribia anapaswa kuuawa.+
10 Unapaswa kumuweka Haruni na wana wake katika madaraka, na watatimiza madaraka yao ya ukuhani,+ na mutu yeyote mwenye haruhusiwe* mwenye atakaribia atauawa.”+