-
Mambo ya Walawi 24:2, 3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “Uamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni zenye kupondwa, ili taa ziendelee kuwaka kila wakati.+ 3 Katika hema ya mukutano, inje ya pazia la Ushuhuda, Haruni atafanya mipango ili taa hizo ziendelee kuwaka kila wakati kuanzia mangaribi mupaka asubui mbele ya Yehova. Hiyo ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote.
-
-
Hesabu 3:32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Kichwa cha wakubwa wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, mwenye alikuwa mwangalizi juu ya wale wenye walipaswa kufanya kazi za mahali patakatifu.
-