-
Kutoka 29:32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Haruni na wana wake watakula+ nyama ya ule kondoo-dume na mikate yenye kuwa katika kitunga kwenye muingilio wa hema ya mukutano.
-
-
Mambo ya Walawi 6:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 “‘Sasa hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mutamutolea Yehova toleo hilo mbele ya mazabahu.
-
-
Mambo ya Walawi 10:12, 13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Kisha Musa akaambia Haruni na wana wake wenye walibakia, Eleazari na Itamari: “Mukamate toleo la nafaka lenye lilibakia kutoka katikati ya matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto na mukule toleo hilo kama mikate yenye haina chachu karibu na mazabahu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu sana.+ 13 Munapaswa kula toleo hilo katika mahali patakatifu,+ kwa sababu ni posho lako na posho la wana wako kutoka katikati ya matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto, kwa maana ni vile nimeamuriwa.
-