Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Haruni na wana wake watakula+ nyama ya ule kondoo-dume na mikate yenye kuwa katika kitunga kwenye muingilio wa hema ya mukutano.

  • Mambo ya Walawi 6:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 “‘Sasa hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mutamutolea Yehova toleo hilo mbele ya mazabahu.

  • Mambo ya Walawi 6:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Haruni na wana wake watakula unga wenye utabakia.+ Unga huo utatengenezwa kuwa mikate yenye haina chachu na itakuliwa katika mahali patakatifu. Wataikula katika kiwanja cha hema ya mukutano.+

  • Mambo ya Walawi 10:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Kisha Musa akaambia Haruni na wana wake wenye walibakia, Eleazari na Itamari: “Mukamate toleo la nafaka lenye lilibakia kutoka katikati ya matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto na mukule toleo hilo kama mikate yenye haina chachu karibu na mazabahu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu sana.+ 13 Munapaswa kula toleo hilo katika mahali patakatifu,+ kwa sababu ni posho lako na posho la wana wako kutoka katikati ya matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto, kwa maana ni vile nimeamuriwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine