-
2 Wafalme 23:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Na mahali pa juu penye palikuwa mbele ya Yerusalemu upande wa kusini* wa Mulima wa Uharibifu,* penye Sulemani mufalme wa Israeli alikuwa amejenga kwa ajili ya Ashtoreti mungu mwanamuke mwenye kuchukiza wa Wasidoni; na kwa ajili ya Kemoshi mungu mwenye kuchukiza wa Moabu; na kwa ajili ya Milkomu+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni,+ mufalme alipafanya pasifae kwa ajili ya ibada.
-