Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:23, 24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 “‘Ni Yehova Mungu wa Israeli ndiye alifukuza Waamori mbele ya watu wake Israeli,+ na sasa unataka kuwafukuza? 24 Je, wewe hautariti kitu chochote chenye mungu wako Kemoshi+ anakupatia uriti? Basi kila mutu mwenye Yehova Mungu wetu amefukuza mbele yetu ndiye tutafukuza.+

  • 1 Wafalme 11:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Ni wakati huo ndio Sulemani alijenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi, mungu mwenye kuchukiza wa Moabu, kwenye mulima wenye kuwa mbele ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki,+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni.+

  • 2 Wafalme 23:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Na mahali pa juu penye palikuwa mbele ya Yerusalemu upande wa kusini* wa Mulima wa Uharibifu,* penye Sulemani mufalme wa Israeli alikuwa amejenga kwa ajili ya Ashtoreti mungu mwanamuke mwenye kuchukiza wa Wasidoni; na kwa ajili ya Kemoshi mungu mwenye kuchukiza wa Moabu; na kwa ajili ya Milkomu+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni,+ mufalme alipafanya pasifae kwa ajili ya ibada.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine