-
Yoshua 12:4-6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Pia, eneo la Mufalme Ogu+ wa Bashani, mwenye alikuwa mumoja wa Warefaimu wenye walibakia,+ mwenye aliishi Ashtaroti na Edrei 5 na kutawala katika eneo la Mulima Hermoni, katika Saleka, na katika Bashani yote,+ kufikia kwenye mupaka wa Wageshuri na Wamaakati,+ na nusu ya Gileadi, mupaka eneo la Mufalme Sihoni wa Heshboni.+
6 Musa mutumishi wa Yehova pamoja na Waisraeli waliwashinda,+ kisha Musa mutumishi wa Yehova akapatia inchi hiyo watu wa kabila la Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase ikuwe uriti wao.+
-