-
Hesabu 31:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Wakapigana na Midiani, kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa, na wakaua wanaume wote. 8 Kati ya watu wenye waliuawa, kulikuwa wafalme tano (5) wa Midiani, ni kusema, Evi, Rekemu, Suri, Huru, na Reba. Pia walimuua Balaamu+ mwana wa Beori kwa upanga.
-
-
Yoshua 13:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kisha Musa akapatia kabila la Rubeni uriti kulingana na familia zao,
-