Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:7, 8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Wakapigana na Midiani, kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa, na wakaua wanaume wote. 8 Kati ya watu wenye waliuawa, kulikuwa wafalme tano (5) wa Midiani, ni kusema, Evi, Rekemu, Suri, Huru, na Reba. Pia walimuua Balaamu+ mwana wa Beori kwa upanga.

  • Yoshua 13:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kisha Musa akapatia kabila la Rubeni uriti kulingana na familia zao,

  • Yoshua 13:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 miji yote ya eneo tambarare la juu, na eneo lote la Mufalme Sihoni wa Waamori, mwenye alitawala Heshboni.+ Musa alimushinda+ na wakubwa wa Midiani, ni kusema, Evi, Rekemu, Suri, Huru, na Reba,+ watawala wadogo* wa Mufalme Sihoni wenye walikaa katika inchi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine