Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:35
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 35 Lakini malaika wa Yehova akamuambia Balaamu: “Uende pamoja na wanaume hao, lakini utasema tu maneno yenye nitakuambia.” Kwa hiyo Balaamu akaendelea kuenda pamoja na wakubwa wa Balaki.

  • Hesabu 23:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kisha Balaki akamuambia Balaamu: “Ni jambo gani hili umenitendea? Nilikuleta ili ulaani maadui wangu, na sasa kuliko kuwalaani umewabariki tu.”+ 12 Balaamu akajibu: “Je, sipaswe kusema neno lolote lenye Yehova anatia katika kinywa changu?”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine