-
Kumbukumbu la Torati 23:3, 4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 “Mwamoni ao Mumoabu yeyote hapaswe kuingia katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi (10), muzao wao yeyote hapaswe kuingia hata siku moja katika kutaniko la Yehova, 4 kwa sababu hawakuwasaidia na chakula na maji wakati mulikuwa katika njia kutoka Misri,+ na kwa sababu walimulipa Balaamu mwana wa Beori kutoka Petori kule Mesopotamia ili awalaani* ninyi.+
-