Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi,+ Ludi, na Aramu.+

  • Hesabu 22:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Alituma wajumbe kwa Balaamu mwana wa Beori kule Petori,+ karibu na ule Muto* katika inchi yenye alizaliwa ndani. Alimuita, na kumuambia: “Angalia! Watu fulani wametoka Misri. Angalia! Wamefunika uso wa* dunia,*+ na wanakaa hapa tu mbele yangu.

  • Kumbukumbu la Torati 23:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 “Mwamoni ao Mumoabu yeyote hapaswe kuingia katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi (10), muzao wao yeyote hapaswe kuingia hata siku moja katika kutaniko la Yehova, 4 kwa sababu hawakuwasaidia na chakula na maji wakati mulikuwa katika njia kutoka Misri,+ na kwa sababu walimulipa Balaamu mwana wa Beori kutoka Petori kule Mesopotamia ili awalaani* ninyi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine