-
Hesabu 22:38Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
38 Balaamu akamujibu Balaki: “Sasa nimekuja kwako. Lakini, je, nitaruhusiwa kusema jambo fulani? Ninaweza kusema tu maneno yenye Mungu anatia katika kinywa changu.”+
-
-
Hesabu 23:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Balaamu akajibu: “Je, sipaswe kusema neno lolote lenye Yehova anatia katika kinywa changu?”+
-