-
Hesabu 22:41Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
41 Asubui Balaki akamuchukua Balaamu na kumupandisha mupaka Bamot-baali; na kule aliweza kuona watu hao wote.+
-
-
Hesabu 23:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Kisha Balaamu akamuambia Balaki: “Jenga hapa mazabahu saba (7),+ na unitayarishie ngombe-dume saba na kondoo-dume saba.”
-