-
Hesabu 23:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Halafu Balaamu akamuambia Balaki: “Bakia hapa karibu na toleo lako la kuteketezwa, na mimi nitaenda. Pengine Yehova atazungumuza na mimi. Kila jambo lenye atanifunulia, nitakuambia.” Kwa hiyo akaenda juu ya kilima chenye kuwa wazi.
-
-
Hesabu 23:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kwa hiyo Balaamu akamuambia Balaki: “Bakia hapa karibu na toleo lako la kuteketezwa wakati ninaenda pale kuzungumuza Naye.”
-