Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Halafu Balaamu akamuambia Balaki: “Bakia hapa karibu na toleo lako la kuteketezwa, na mimi nitaenda. Pengine Yehova atazungumuza na mimi. Kila jambo lenye atanifunulia, nitakuambia.” Kwa hiyo akaenda juu ya kilima chenye kuwa wazi.

  • Hesabu 23:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kwa hiyo Balaamu akamuambia Balaki: “Bakia hapa karibu na toleo lako la kuteketezwa wakati ninaenda pale kuzungumuza Naye.”

  • Hesabu 23:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Kwa maana hakuna alama za mambo ya mubaya juu ya Yakobo,+

      Wala hakuna uaguzi wowote juu ya Israeli.+

      Wakati huu inaweza kusemwa kuhusu Yakobo na Israeli:

      ‘Muangalie mambo yenye Mungu ametenda!’

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine