Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 14:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemuweka imara kabisa kuwa mufalme juu ya Israeli,+ kwa maana ufalme wake ulikuwa umeinuliwa sana kwa ajili ya watu Wake Israeli.+

  • Danieli 2:44
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 44 “Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atasimamisha ufalme+ wenye hautaharibiwa hata siku moja.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utaponda na kumaliza falme hizi zote,+ na ufalme huo peke yake utasimama milele,+

  • Ufunuo 11:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Malaika wa saba (7) akapiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikiwa mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ na atatawala akiwa mufalme milele na milele.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine