5 Haiko kwa sababu ya haki yako ao unyoofu wa moyo wako ndiyo maana unaingia ili kuriti inchi yao. Lakini, ni kwa sababu ya uovu wa mataifa hayo ndiyo maana Yehova Mungu wako anayafukuza mbele yako+ na ili kutimiza neno lenye Yehova aliapia mababu zako, Abrahamu,+ Isaka,+ na Yakobo.+