-
Hesabu 23:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kisha Balaki akamuambia Balaamu: “Ni jambo gani hili umenitendea? Nilikuleta ili ulaani maadui wangu, na sasa kuliko kuwalaani umewabariki tu.”+
-
-
Nehemia 13:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa katika masikio ya watu,+ na ndani yake ikavumbuliwa kwamba ilikuwa imeandikwa kuwa Mwamoni ao Mumoabu+ hawapaswe hata kidogo kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuenda kupokea Waisraeli na mukate na maji, lakini walimulipa Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aligeuza laana hiyo kuwa baraka.+
-