Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:10, 11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Balaamu akamuambia Mungu wa kweli: “Balaki mwana wa Sipori, mufalme wa Moabu, amenitumia ujumbe, na kusema, 11 ‘Angalia! Watu wenye wanatoka Misri wanafunika uso wa* dunia.* Sasa kuja na uwalaani kwa ajili yangu.+ Pengine ninaweza kupigana nao na kuwafukuza.’”

  • Hesabu 23:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kisha Balaki akamuambia Balaamu: “Ni jambo gani hili umenitendea? Nilikuleta ili ulaani maadui wangu, na sasa kuliko kuwalaani umewabariki tu.”+

  • Nehemia 13:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa katika masikio ya watu,+ na ndani yake ikavumbuliwa kwamba ilikuwa imeandikwa kuwa Mwamoni ao Mumoabu+ hawapaswe hata kidogo kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuenda kupokea Waisraeli na mukate na maji, lakini walimulipa Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aligeuza laana hiyo kuwa baraka.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine