-
Hesabu 22:16, 17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Wakafika kwa Balaamu na kumuambia: “Balaki mwana wa Sipori amesema, ‘Tafazali, usiruhusu kitu chochote kikuzuie kuja kwangu, 17 kwa maana nitakuonyesha heshima kubwa na nitafanya kila kitu chenye utaniambia nifanye. Kwa hiyo, kuja, tafazali, na ulaani watu hawa kwa ajili yangu.’”
-