42 Wasimeoni fulani, wanaume mia tano (500), walienda kwenye Mulima Seiri+ wakiwa na Pelatia, Nearia, Refaya, na Uzieli, wana wa Ishi wenye waliwaongoza. 43 Na wakapiga na kuua Waamaleki+ wenye walibakia wenye walikuwa wameponyoka, na wamekuwa wakiishi kule mupaka leo.