-
Hesabu 21:23, 24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Lakini Sihoni hakuruhusu Israeli apitie katika eneo lake. Tofauti na hiyo, Sihoni akakusanya watu wake wote na kuenda kushambulia Israeli katika jangwa na akafika Yahazi na kuanza kupigana na Israeli.+ 24 Lakini Israeli akamushinda kwa upanga+ na akakamata inchi yake+ kuanzia Arnoni+ mupaka Yaboki,+ karibu na Waamoni, kwa sababu muji wa Yazeri+ uko kwenye mupaka wa eneo la Waamoni.+
-
-
Yoshua 12:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Basi hawa ndio wafalme wenye Waisraeli walishinda na kukamata inchi yao upande wa mashariki wa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni*+ mupaka Mulima Hermoni+ na eneo lote la Araba kuelekea upande wa mashariki:+ 2 Mufalme Sihoni+ wa Waamori, mwenye aliishi Heshboni na kutawala kuanzia Aroeri,+ muji wenye ulikuwa pembeni ya Bonde la Arnoni,*+ na kuanzia katikati ya bonde hilo, na nusu ya Gileadi kufikia Bonde* la Yaboki, kwenye mupaka wa Waamoni.
-