Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:23, 24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Lakini Sihoni hakuruhusu Israeli apitie katika eneo lake. Tofauti na hiyo, Sihoni akakusanya watu wake wote na kuenda kushambulia Israeli katika jangwa na akafika Yahazi na kuanza kupigana na Israeli.+ 24 Lakini Israeli akamushinda kwa upanga+ na akakamata inchi yake+ kuanzia Arnoni+ mupaka Yaboki,+ karibu na Waamoni, kwa sababu muji wa Yazeri+ uko kwenye mupaka wa eneo la Waamoni.+

  • Yoshua 12:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Basi hawa ndio wafalme wenye Waisraeli walishinda na kukamata inchi yao upande wa mashariki wa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni*+ mupaka Mulima Hermoni+ na eneo lote la Araba kuelekea upande wa mashariki:+ 2 Mufalme Sihoni+ wa Waamori, mwenye aliishi Heshboni na kutawala kuanzia Aroeri,+ muji wenye ulikuwa pembeni ya Bonde la Arnoni,*+ na kuanzia katikati ya bonde hilo, na nusu ya Gileadi kufikia Bonde* la Yaboki, kwenye mupaka wa Waamoni.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine