Kutoka 32:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kisha Musa akamulilia* Yehova Mungu wake+ na kusema: “Ee Yehova, sababu gani ugeuzie kasirani yako yenye kuwaka juu ya watu wako kisha kuwatosha katika inchi ya Misri kwa nguvu kubwa na kwa mukono wenye nguvu?+ Kutoka 32:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Kwa hiyo Yehova akabadilisha nia yake* kuhusu musiba wenye alikuwa amesema kwamba ataleta juu ya watu wake.+ Zaburi 106:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Alikuwa karibu kuagiza waharibiwe,Lakini Musa, muchaguliwa wake, akamulilia*Ili kuzuia kasirani yake yenye kuharibu.+
11 Kisha Musa akamulilia* Yehova Mungu wake+ na kusema: “Ee Yehova, sababu gani ugeuzie kasirani yako yenye kuwaka juu ya watu wako kisha kuwatosha katika inchi ya Misri kwa nguvu kubwa na kwa mukono wenye nguvu?+
14 Kwa hiyo Yehova akabadilisha nia yake* kuhusu musiba wenye alikuwa amesema kwamba ataleta juu ya watu wake.+
23 Alikuwa karibu kuagiza waharibiwe,Lakini Musa, muchaguliwa wake, akamulilia*Ili kuzuia kasirani yake yenye kuharibu.+