Kutoka 32:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Kisha akakamata zahabu kutoka kwao, na akatengeneza nayo sanamu* ya kitoto-dume cha ngombe kwa kutumia kifaa cha kuchongea.+ Watu wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, mwenye alikuongoza kutoka katika inchi ya Misri.”+
4 Kisha akakamata zahabu kutoka kwao, na akatengeneza nayo sanamu* ya kitoto-dume cha ngombe kwa kutumia kifaa cha kuchongea.+ Watu wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, mwenye alikuongoza kutoka katika inchi ya Misri.”+